Ilisasishwa mwisho: Januari 2025
MamaKijacho inaheshimu na kulinda faragha ya watumiaji wake. Sera hii inaeleza jinsi tunavyokusanya, kutumia, kuhifadhi na kulinda taarifa zako unapokuwa unatumia App ya MamaKijacho.
MamaKijacho haiuzi wala haitoi taarifa zako binafsi kwa watu au kampuni nyingine, isipokuwa:
Tunatumia hatua za kiusalama kulinda taarifa zako dhidi ya upotevu, matumizi mabaya au ufikiaji usioidhinishwa.
Huduma zetu zinalenga wazazi na walezi. Hatukusanyi kwa makusudi taarifa binafsi za watoto bila idhini ya mzazi au mlezi.
Una haki ya:
Tunaweza kubadilisha sera hii mara kwa mara. Mabadiliko yatatangazwa kupitia App au ukurasa huu.
Kwa maswali au maoni kuhusu sera ya faragha:
📧 Barua pepe: info@mamanamwanacare.co.tz
📞 Simu: +255 744 644 225